![]() | |||
Kumekucha mwana ARU na makucha yake, Hatumwi mtoto dukani.. Ofisi ya BUNGE inapenda kuwatangazia wana ARU wote kuwa, kutakuwa na BONANZA litakalo husisha viongozi wote wa ARUSO, wananchi wote,na wafanyakazi wote.. Michezo itakayokuepo ni Mpira wa miguu kwa wanaume,Netball kwa wanawake,kukimbiza kuku,kula apple kwa wasichana, riadha kwa wanaume na wanawake, kuvuta kamba,kula ndizi mbivu,na kukimbia kwenye gunia...Mda wa mashindano itakua Ijumaa tar 15/12/2017 kuanzia saa tisa alasiri washindi watazawadiwa zawadi mbali mbali kama vile Mbuzi,kuku,pesa taslimu,soda n.k... Michezo ni Afya, hujenga undugu.. Karibuni nyote mshuhudie vipaji vilivyo jificha ndani ya viongozi wetu na wananchi wao... Sambamba na hilo wadhamini wetu CRDB watakuepo wakitoa huduma zao kama vile Sim banking,internet banking,kufungua account mpya na huduma zingine nyingi...Nyote mnakalibishwa.. |
Related Posts
UPDATES; BUNGE BONANZA NA CRDB BANK.
16 Dec 20171Mchezo wa awali, Timu ya Cabinet imeibuka na ushindi wa bao moja kwa bila dhidi ya Timu y...Soma Zaidi »
FURSA MPYA KWA WANAFUNZI WA VYUO
08 Dec 20170Makamu mkuu wa chuo kikuu Ardhi ametoa mbinu mpya za maendeleo na fursa mbalimbali kwa wanavyuo ...Soma Zaidi »
Ardhi University 11th Graduation Ceremony.
04 Dec 20170The Ardhi University on 02 December 2017 held a Graduation Ceremony to award Bachelors, Master...Soma Zaidi »
Ardhi University 10 years anniversary opening ceremony.
26 Nov 20170The Ardhi University 10 years anniversary opening ceremony was held at Ardhi University grounds ...Soma Zaidi »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.