Latest

12:03 PM PCCB SEMINAR.

Serikali ya wanafunzi ARUSO kupitia Wizara ya Fedha na Uwekezaji na Wizara ya Habari imeongeza mda wa kuendesha zoezi la upigaji picha kwa ajili ya usahili wa wanachuo na matumizi mengine kuanzia saa12:00 hadi 13:00 mchana kila siku ofisini ARUSO.
Vilevile serikali ya wanafunzi ARUSO imetoa maelekezo juu ya utaratibu wa ubandikaji wa matangazo binafsi katika maeneo ya chuo na mbao zake za matangazo.

16 Nov 2017

0 comments:

Post a Comment

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top